Saturday, June 30, 2012

Zubi D'Nova: Miss India Kenya 2004 aliyekuja kuwashika kimuziki




ZUBI D'NOVA Ni nani?

Ni msaani wa Kenya ambaye kwa sasa yupo nchini Uholanzi lakini atarejea kwao Kenya hivi karibuni. Ni msanii wa kujitegemea ikimaanisha kuwa huandika na kutunga nyimbo zake mwenyewe, kufanya video zake, marketing na pia kushughulikia page zake za website na mambo mengine.

Akiwa na umri wa miaka 14, alianza kujulikana nchini Kenya kwa jina la kisanii la  ''Mellow Dee'' na kufanya collabo na wakali kama Rigga, Redsan, Vini Banton, Jaymoe, Pentamony, Syd, na wengine.

Baada ya kushinda Miss India Kenya 2004 na Zee Teen Queen - Kenya Chapter, aliendelea na muziki lakini kutumia muda wake kwenye elimu kwanza.

Baada ya kuondoa Kenya, alirejea tena nchini humo lakini muziki ukaonekana si muda wake kwa kipindi hicho na akaamua kuacha kurekodi muziki kwa karibu miaka kumi.

Na sasa Mellow Dee amerejea kwa hasira zaidi na akiwa amekua zaidi huku akija na jina jipya la Zubi d'Nova, ambalo maana yake ni ''Rise Again''.

Hii ni video ya wimbo wake mpya uitwao 'Not My Type'


Exclusive: Sikiliza igizo la MTV Shuga Radio EP.1 Kiswahili hapa



Ile Drama ya MTV Shuga: Love, Sex, Money inatarajia kuanza kusikika kwenye vituo vya radio jumatano ijayo katika nchi sita.

Show hiyo ya runinga iliyojishindia tuzo, imewekwa kwenye mfumo wa radio ili kuwafikia wasikilizaji wa radio zaidi ya milioni 45 katika nchi za Cameron, DRC, Kenya, Lesotho, Afrika Kusini na Tanzania.

Show hiyo ya radio imetengenezwa kwa lugha mbalimbali ambapo wasikilizaji wa Tanzania na Kenya watakuwa wakisikiliza version ya Kiswahili.

Mradi huo unaungwa mkono na Unicef, MTV Staying Alive Foundation, US President's Emergency Plan for AIDS Relief na the Partnership for an HIV Free Generation kwa ushirikiano na vijana, wawakilishi wa serikali na wadau kutoka kwenye nchi zinazoshiriki.

Shuga Radio inahusisha story za vijana wenye umri kuanzia miaka 15-24.
Mfululizo wa show hiyo unasimulia machaguo ya vijana hao, ndoto zao, urafiki, changamoto na ushindi katika dunia ambayo virusi vya HIV na Ukimwi ni tishio kubwa.

Shuga Radio itaangalia masuala yale yale yanayotazamwa kwenye show ya TV yakiwemo ushauri nasaha na kupima, matumizi ya condom kwenye mahusiano imara, kujikinga, utofauti wa kijinsia na ukatili wa kimapenzi, ulevi na mambo mengine.

Washiriki utakaowasikia humu ni Amina,Fally,Sharon,Feruz, Karis na Riziki.

Isikilize kwa mara ya kwanza hapa:

Lamb & Lynx

God nyhet om disse to jentene, som noen kanskje kjenner igjen fra diverse dokumentarer om nazister. 
Når de var små dannet de nemlig en jentegruppe kalt Prussian Blue som med hjelp av moren slo gjennom i nazi miljøet. Nettopp pga forferdelige uttalelser, sangtekster og image generelt. 


Jeg har alltid syns veldig synd på de, når jeg har sett alt det rare de tydeligvis hadde lært, som at konsentrasjonsleirene bare var tull og hadde svømmebasseng. Og hvor flott Hitler var. 
Barn blir ikke født til å tro sånne ting, de lærer det. Og det var jo veldig tydelig at mommy dearest sto bak.

Jeg syns også det var veldig ufyselig at gamle menn som satt i fengsel eller bodde i andre deler av landet, sendte de gaver og ringte hjem til dem for å snakke med de, mens moren oppmuntret det hele. Jeg husker ikke akkurat hvilken dokumentar dette var i, men jeg husker jeg syns det var så kvalmt fordi pedofili alarmen min gikk av. Temaet i disse samtalene var nemlig ofte hvor flotte disse små blåøyde ariske jentene var og litt sånn på kanten etter mitt syn.


Uansett, det positve er at de nå er ute av det miljøet, blitt mer åpne og sluttet med musikken.
YAY! Jeg håpet alltid at det skulle skje, så det ekle moren deres kunne våkne litt. Desverre har ikke hun våknet opp enda, men så lenge de to har det er jeg fornøyd uansett!
Så hurra for at de tør å gå ut av miljøet de ikke en gang valgte selv, men som ble valgt for dem veldig tidlig.

New shoes! Igjen....

Okei, så det var det med å ikke kjøpe flere sko da... Men disse er et unntak. 
Jeg har nemlig sett på de en god stund, men alltid syns de har vært for dyre til at jeg kunne ta meg råd til det. De kostet nemlig 500 kr. Og så mye for ballerina sko er jo vel i overkant spør du meg.



Men nå har det seg jo sånn at det er salg overalt, og plutselig en dag var de satt ned til bare 200 kr, noe jeg syns er en veldig okei pris. Så da endte jeg opp med de likevel!
Jeg elsker salg!

De er forresten kjøpt på Dinsko, min yndlings skobutikk!

Matlaging til besvær

Så i dag bestemte jeg meg for å endelig lage noe ordentlig mat, og ikke bare micromat eller nudler. Det ble pitabrød med kylling, sopp, paprika og mais. Men siden det da er første gangen jeg lager noe ordentlig, gikk jo ikke det knirkefritt.

Jeg skulle jo da selfølgelig steke kyllingen og grønnsakene i stekepannen. Men den fancy elektriske komfyr platen vi har er jo for innviklet for meg! Til vanlig klarer jeg å koke nudler på den. Men nå fungerte ingenting! Jeg trykket og trykket, men den bare slo seg av etter 2-3 min. Jeg prøvde alle platene, men ingen fungerte!

Ikke skjønner jeg en dritt av disse knappene, eller hva forskjellen på bare 9 og 9 med et punktum ved siden av er heller. Så etter å ha trykket vilt i et kvarter, ga jeg opp og fant en ildfast form jeg stappet alt nedi.

Og slang den inni ovnen.

Noe som faktisk fungerte ganske så bra! Kyllingen ble mer saftig enn jeg syns den blir i stekepanne og så lenge man bare følger med, blir det ikke svart heller.

Det ble ganske så godt, og gikk ned på høykant! Lørdagskos!

Friday, June 29, 2012

Adele er gravid og Katie Holmes er fri!

To store nyheter ble sluppet i kjendis verden i dag! Og jeg ser på begge som positive, og verdt å nevne.

Det første er at Adele er gravid med sitt første med barn sammen med kjæresten Simon Konecki!
Det er jo alltid koselig med babyer, for de som ønsker seg det og når hun først skal ha pause kan hun like så godt stifte familie spør du meg! Så gratulerer!


Det andre og den enda større nyheten er at Katie Holmes og Tom Cruise skal skilles!
Veldig mange forlovelser og skilsmisser nå om dagen, det er jo ikke lenge siden det ble bekreftet at Johnny Depp og Vanessa Paradis skilles heller.

Men uansett, jeg sier da "Yay!" Noe som er stygt å si om en skilsmisse og det er veldig synd at Suri blir midt oppi det hele. Men for Katie Holmes sin del syns jeg det er litt bra. 

FORDI jeg er overbevist om at Tom Cruise er et meget spesielt menneske, noe som på en måte ble bekreftet da han hoppet villt på sofaen til Oprah og annonserte hvor forelsket han var i Katie. Det var et øyeblikk jeg og mange andre tenkte at nå har det løsnet noen skruer her.
For de som ikke fikk det med seg da, se her:


Jeg tror han blir vel for intens for Katie. Jeg er ikke så glad i for skev maktfordeling i et forhold, og det er jo tydelig at Tom Cruise er den som spiller på fløyten alle andre må danse etter. Med sin karriere og alle pengene er han nok vant til å få ting som han vil.

Og han er en god slump eldre enn henne og veldig inn i scientologi som da er veldig omstridt. 
Dessuten spilte hun i hva da, en film eller noe etter at de ble gift. Husmor med kjerringsveis og baby maskin var det hun ble da de giftet seg.

Altså for all del, han er er jo sikkert hyggelig og de har vel hatt det bra.
Men det er liksom ikke noe sjokk. Og jeg syns han burde finne seg en dame nærmere sin egen alder, som ikke lar seg pille på nesen og som har sin egen karriere. 

Ikke at jeg vet hvem det skulle vært men... ikke Katie Holmes i hvertfall!


Ps: lykke til Tom!

Adele Mjamzito, anatarajia kupata mtoto na Simon Konecki!



Huenda nyimbo za Adele zikaendelea kuwa za furaha zaidi kwakuwa ni sasa mjamzito.

Wakati ambapo leo (June 29) Tom Cruise na Katie Holmes wamesema watapeana taraka, Adele ana habari njema zaidi kwa mashabiki wake.

"Ninayo furaha kutangaza kuwa Simon na mimi tunategemea mtoto wetu wa kwanza,” aliandika kwenye website yake. "Nataka mzisikie habari hizo moja kwa moja kutoka kwangu.”

Quincy: Mtoto wa kambo wa Diddy anayekuja vizuri kwa R&B





Pamoja na kuwa na watoto watano, Diddy pia ni baba wa kambo wa Quincy Jones Brown (December 1991), mtoto wa kiume wa mpenzi wake wanaechana na kurudiana mara kwa mara Kimberly Porter aliyezaa na muimbaji wa New Jack Swing Al B Sure.

Quincy anakuja vizuri sana kwenye muziki wa R&B nchini Marekani. Ana wimbo wake uitwao Stay a While unaofanya vizuri kwa sasa.

Chek video ya behind the scenes wakati akishoot video ya wimbo huo.






Quality ya video hii haina haja ya kwenda South


Raqey Mohamed aliyedirect video yaTazneem

Kwenye page ya Facebook ya mpiga picha maarufu sana nchini Tanzania Raqey Mohamed ameweka video ya msanii mpya mwenye asili ya kihindi aitwaye Tazneem.

Tuliamua kuifuata link ya video hii baada ya kuona kuwa director ni yeye. Tulitaka kujua upande wa video za muziki yukoje. Ama kweli tumestaabu na uwezo mkubwa alionao huyu jamaa. He is good.

Kwa video za aina hii hakuna haja ya wasanii kwenda nje kufanya video  zenye hadhi ya kimataifa ili zipigwe kwenye station kubwa kama Channle O ama MTV Base. Congrats Raqey. Tegemea foleni ya wasanii watakaotaka video zako.


ARTIST: TAZNEEM
SONG: KWASA KWASA
PRODUCED BY TUDD THOMAS
DIRECTED BY RAQEY MOHAMED
VIDEOGRAPHY: I-VIEW STUDIOS
WARDROBE: ALLY REHMTULLAH

Jengo jipya la BBC- Broadcasting House, London ni nomaaaaaaaa!





“Siku ya mwisho kupiga kazi Bush House,” ni ujumbe kwenye mtandao wa Facebook ulioandikwa na mtangazaji mkongwe wa idhaa ya kiswahili ya BBC, Saleem Kikeke akiambatanisha na jengo la Bush house ambapo ndio makuu ya BBC London.

Muda mfupi tu baada ujumbe huo wa Kikeke maswali yakaanza kumiminika yakiuliza kama jamaa ndo anafungasha virago kurudi Bongo ama inakuaje! “Jaman ina maana ndo mwisho wa kisa na mkasa BBC?” ni miongoni mwa maswali mengi ya aina hiyo yaliyoelekezwa kwa Saleem Kikeke.


Jamaa alipiga kimya kwa muda pasipo kujibu lolote na kuwaacha mashabiki  wake na ‘mshawasha’ kuhusu hatma ya mzee wa kisa na mkasa.

Baada ya muda akaibuka na status nyingine kabisa. Awamu hii akaja na habari njema. “Tunahamia jengo jipya New Broadcasting House,” akiambatanisha na picha ya mjengo mmoja mpya na matata sana kwa mbali yakionekena maneno ‘BBC’!

Waliokuwa wamepanic kumkosa Saleem kwenye show yake maarufu ya kila jumamosi asubuhi kupitia BBC Swahili wakashusha pumzi na zikaanza kutolewa pongezi tu kwa maendeleo waliyoyafikia baada ya kuchoka kufanyia kazi ‘Bush House’.

Nasi tukapata hamu ya kulijua zaidi jengo hili. Ama kweli hili jengo ni maridadi. Sasa litajulikana kama ‘moyo wa London’.

Muda wa usiku taa zinapowashwa, unaweza ukadhani umetuwa kwenye casino maarufu za mjini Las Vegas, Mtoni.

Jengo linawaka haswaaaaa!

Jengo hili litakuwa na miongoni mwa nyumba vya habari (newsrooms) kubwa zaidi duniani.

Jionee mwenyewe!









“For the first time in our history we are bringing together the London headquarters of our News operations, our Radio operations and our Television operations in the most advanced digital broadcast and production centre in the world.”
Mark Thompson, BBC Director General

Choice FM kesho kupiga show live kutoka Mlimani City




Let’s be honest, ukiwa mgeni na umekuja Dar halafu kama bahati tu kwenye radio yako ukatua kwenye masafa ya 102.6 unaweza ukadhani kuna radio ya Marekani ama Uingereza imeingilia masafa hayo kwa bahati mbaya. 

Lakini kumbe ni radio inayotangaza kutoka Tanzania. Believe it or not, like it or not, Choice is the number 1 English station in Tanzania. 

Wakiwa na watangazaji macelebrity kama Barbie Kabae, ML Chris, Abby Plaatjes, Thandi Kathembe, Vanessa Mdee, Evance Bukuku na wengine, these guys are undisputed.

So kesho pande za Mlimani City watakuwa Live, “Choice FM hits the streets.. This Saturday, at Mlimani City from 1pm... #Dopeness,” wameandika kwenye page yao ya Facebook.

Na kwa wapenzi wa muziki wa nje na selection za hatari, Choice Fm is the right station for you.

Chamber Squad wajipanga kupiga tour mwisho mwa mwaka



Ngwea, Dark Master, Noorah, Geez  Mabovu na Mez B wa kundi lililokaa kimya kwa muda mrefu la Chamber Squad, wanafikiria uwezekano wa kufanya tour ya pamoja mwishoni mwa mwaka huu.

Akiongea na East Africa Radio jana, Ngwea amesema pamoja na mipango ya kulikutanisha tena kundi hilo,yupo mbioni kuachia ngoma yake mpya aliyomshirikisha Noorah aka Baba Stylez.

Ngoma hiyo iitwayo Chombeza Time imefanywa na mshindi wa tuzo za Kili mwaka jana kama producer bora Manecky wa AM Records.

Ngwea aka CowObama ambaye kwa sasa yupo jijini Mwanza, amesema kwenye ngoma hiyo ameamua kuimba huku Noorah akichana na amesema ni ngoma ambayo inaweza ikamrudisha poa yeye na Noorah.

Amesema hadi kufikia wiki ijayo ngoma hiyo ambayo kwa sasa ipo kwenye hatua za mixing inaweza kuwa tayari kwenda hewani.

Kundi la Chamber Squad, ambalo zamani lilikuwa tishio limekuwa kimya, huku kila mmoja akifanya muziki kama solo artist.

Kwa muda mrefu Dark Master amekuwa akiishi jijini Mwanza ambako ameendelea kufanya muziki huko.

Noorah pamoja na kumaliza chuo na kupata kazi, mwaka jana aliachia ngoma iitwayo Lugha Gongana pamoja na video yake. Wimbo huo ulishirikishwa kwenye drama maarufu ya MTV Shuga ya nchini Kenya.

Kwa upande wa Mez B mwanzoni mwa mwaka huu aliachia ngoma iitwayo ‘Ring Tone’ iliyotengenezwa na Lamar wa Fishcrub lakini hata hivyo licha ya kuwa kali haikuhit sana.

Exclusive Video: STL's Bad As I wanna Be




Hatimaye video ya mwanadada namba moja kwa hip hop Afrika, Stella Mwangi aka STL ameachia video ya ngoma yake mpya Bad As I wanna Be.

Director wa video hii ni Christian Bastiansen ambapo video yenyewe ilifanyika nchini Kenya.

Ichek.

Beyoncè

Litt morro å oppdage når jeg ser på gamle Destiny's Child musikkvideoer, at Beyoncè har brukt to av de store trendene i dag i to av videoene. Tidlig ute med trender altså! Bare ser her:


Rosa dipdye i Bootylicious videoen!


 Og bandana/hode tørkle i Soldier videoen!

Ikke at det er så uvanlig at trender går igjen, men det er jo litt morro å se. Trodde ikke jeg hadde sett dipdye før i fjor jeg, men jeg har tydeligvis visst om det uten å vite om det. Og sånn tørkle har for meg alltid vært pin up, mens Beyoncè kjører yo stil.

The Music Postmortem: Belle 9 na Ben Pol, Anayeishi naye




Ijumaa ya leo June 29 ndio siku ambayo Season One ya ‘The Music Postmortem inaanza rasmi hapa leotainment. TMP itakuwa inakujia kila ijumaa pale ambapo tutakuwa tumepata mezani wimbo mpya unaostahili kufanyiwa uchambuzi wa muziki na wataaalam wa mambo hayo.

Katika msimu huu panel ya wachambuzi wa TMP ni pamoja na Wynjones Kinye (mtunzi wa nyimbo, muimbaji, producer na Tutorial Assistant, St. Augustine University of Tanzania, Fredrick Max ( Banker, msomi wa masuala ya biashara, IFM na mtunzi wa nyimbo, Joseph 'Josefly' Muhozi (Rapper, mtunzi wa nyimbo, mtangazaji wa radio, mwanafunzi wa Mass Communication, SAUT, na Jeremy J-Ryder Kyejo (producer Tongwe Records na msomi wa masuala ya muziki).

Wiki hii magwiji hawa wa muziki nchini wanauchambua wimbo wa Belle 9 na Ben Pol uitwao ‘Anayeishi Naye. Wimbo huu umetengeneza na producer Mona G.



Wynjones Kinye


Iko wazi kwamba hawa mabwana wawili wanasauti nzuri na za kipekee…ni aina ya waimbaji ambao Tanzania majina yao ni rahisi sana kutajwa vinywani mwa watu pindi wazungumziwapo waimbaji wakali.

Sijasikia wao kustruggle kuhit high notes za chini, kati, na juu….wamepokena vizuri na hii inadhihirisha kuwa walikaa pamoja kutunga ama kuupractice wimbo kitu ambacho waimbaji wengi wa Kitanzania hawafanyi pindi wakishirikiana kwenye wimbo.

Nimependa wao kupokeana kuimba ndani ya ubeti na kiitiko….hii imefanya wimbo usiwe rahisi kuchokwa, utundu wa kila mmoja kucheza na sauti umenogesha zaidi mtindo walioamua kuutumia.

Uhusiano wa ujumbe na muziki uliotengenezwa sio mbaya…tempo iko sawa na waimbaji wamehakikisha wanatamka maneno vizuri kufikisha ujumbe kusudiwa….lakini niseme production kwa kiasi kikubwa sana inachangia wimbo kuwa mahala pazuri sokoni…siwezi sema kwamba hii ni production bora kabisa kuustahili wimbo huu …najaribu tu kujikumbusha kuwa huku ndipo alipoanzia Belle ambaye baadae alipanda ngazi nyingi sana na leo amefanya maamuzi magumu ya kuamua kushuka ngazi kurudi kufanya wimbo huu ambao wengi wangetegemea uwe collable ya mwaka.

Nachojaribu kuwasilisha hapa ni kuwa tumeshamsikia sana Belle kwenye midundo ya aina hii…binafsi nilitamani mdundo wa tofauti kabisa na wenye ubora wa hali ya juu kwa vijana.

Adlibs za Belle zimependezesha sana nyimbo…amejikamua vizuri mno kutamka “no no no nooo” …wapenzi wa Wyclef Jean watakuwa wameenjoy sana ladha ile japo sauti hizo kusikika wakati chorus inaimbwa kwangu mimi haikuwa sehemu muafaka.

Title…hapa wengi tunakwama mpaka wakati mwingine hadhira kubatiza jina jipya wimbo Fulani…katika wimbo huu naona dalili zote za hili kutokea….Kama ingekuwa ni mimi wimbo huu ningeuita “AMETUDANGANYA” badala la “ANAISHI NAYE”…sababu ni rahisi tu kwamba wimbo huu hapa ndipo panabamba kirahisi na kumfanya mtu kuitikia..lakini pia content imeegemea zaidi  kwenye namna alivyowadanganya kuliko kuishi naye.

Nimefurahia zaidi uamuzi wa Belle kutorudiarudia vipande vya mistari kwenye beti kama alivyofanya kwenye nyimbo zake nyingi….hii imefanya midondoko yake isiwe “predictable” kitu ambacho ni kizuri masikioni mwa msikilizaji.
Uhusiano wa title na content:  Uhusiano kati ya jina la wimbo na content hapa haupo…hivyo siwezi sema kwamba kiuandishi wamefanikiwa sana…japo haimaanishi kuwa wimbo ni mbaya...nilitamani sana kusikia namna mtunzi angeweza kuunganisha jina la wimbo na ujumbe aliouandika ndani.

Fredrick ‘Mshale’ Max

Ben pol and Belle 9, nani asiyewajua wakali hawa kwenye tasnia ya muziki wa Bongo? Ni dhahiri isiyojificha kwamba hawa jamaa ni wakali wa vocals na wamejizolea mashabiki lukuki kutokana na nyimbo zao kali.

ANAISHI NAE ndio jina la single yao mpya kama collabo. Kwakweli wengi tuliisubiri kwa hamu,ukizingitia vipaji walivyo navyo vijana hawa. Well ,I must say I am very disappointed in their failed attempt to create a masterpiece...nyimbo hii INAONEKANA WALIKURUPUKA....beat ni mediocre, nothing special about the beat kwa kweli...lyrics hafifu..hazijaendana na uzito wa idea kabisa...Melodies Mbaya...ukiacha kipande cha Anayeishi Nae....wanapoitikia..arrangement mbovu.

The only good thing about the song ni vocals za wasanii.
Hata hivyo, jitihada za belle 9 kuweka ad libs zimefail...mwishoni anapayuka badala ya kuimba..and Ben pol..whistle notes Mwachie Mariah Carey...hazikutoka poa.

All in All ni Generic song,ya kawaida sana..I give it 2 stars out of 5.Vijana Wajaribu tena...and the producer...what is his name again? needs to take a seat at the National Stadium.

And a message to all Bongo artists, just because you like each other’s music doesn't, mean you can create magic together, there’s gotta be some chemistry.

Joseph 'Josefly' Muhozi

Mwanzo(Introduction) umepangwa vizuri na unavuta sana usikivu, mwanzo mfupi wa kuvuta hisia tu..ama (feeling) kama inavyojulikana kwa lugha ya studio..

Kizuri zaidi ni pale walipounganisha na kibwagizo(chorus) ambayo inatoa picha ya ujumla ya kisa kizima kwa ufupi, na majina yao kwa utangulizi ambayo yakitajwa kwa pamoja hapana shaka msikilizaji atatamani kujua nani kafanya nini kwani hawa wote ni wakali. Maneno machache ya chorus na mepesi kueleweka yanayotoa picha ya ujumla ya simulizi tena bila mdundo yakisindikizwa na kinanda..

Ubeti wa kwanza umeanza vizuri kwa misemo ya Kiswahili inayotoa picha ya mtu anaelalamika, belle 9 anasema ‘’kweli furaha au matatizo huja wakati usiodhani, kwani ndivyo imekua sivyo alivyofanya mi siamini’’..lakini pia wanavyodakizana Ben Paul na Belle 9 kwa mistari miwili miwili kila mmoja akieleza matumaini yake na jinsi yalivyopotea (kwa kutumia mistari miwili miwili tu (mirefu na sio mifupi))..na kuunganisha kisa hiki kinachovutia kwa mstari mmoja mmoja kuonesha jinsi gani kila mmoja alikua hajui kama ahadi alizopewa na Yule mrembo zilikua ‘copy’ ya zile alizopewa rafiki yake..

Kwa huu ubeti wa kwanza tu..mtunzi/watunzi wamefanikiwa kufanya kile wataalamu wa mawasiliano wanakiita ‘’teasing the audience’’ japo kwa ukawaida neno hili linaweza kua na maana nyingine lakini kwa taaluma ya mawasiliano ya umma inamaanisha kumfanya msikilizaji kua na shauku ya kujua nini kilitokea, na hapo inabidi sasa asubiri ubeti wa pili..wakati ameshapata picha zaidi ya kisa kizima ila anahitaji kujua tu ilikuajekuaje ‘HOW’....

Baada ya chorus..Ubeti wa pili..ambapo wameweza pia kutoa kile ambacho msikilizaji alitaka kujua baada ya kusikiliza ubeti wa kwanza.. ‘HOW’ ilikuaje kuaje hawa marafiki wakajikuta katika huu mtego wa huyu binti..na katika ubeti huu wameweza kueleza ilikuaje, na hapa wametumia ubuinifu kwa kukumbushana matukio muhimu kwa kusimuliana wao wenyewe na kutoa picha ‘inayotatanisha’ kidogo kwa jinsi walivyoonana na mmoja akiwa na huyo huyo msichana, na hawakusalimiana...nitaitolea ufafanuzi hapo chini..

Mwisho kabisa mtunzi ameweza kwa kiasi kikubwa kusimulia na kutoa kisa kizima kisichohitaji muendelezo kwa sababu inaonekana kabisa kua Yule mrembo alishapata mtu mwingine ambae amepiga nae hatua kubwa zaidi ya zile walizopiga wote kwa sababu huyo jamaa‘‘ANAISHI NAE’’.
Na wao wamebaki na ‘MAJUTO’ tu, ambayo kwa msemo wa Kiswahili ‘NI MJUKUU’.

CHANGAMOTO: nimejaribu kufanya sampling ya kutaka kujua uelewa wa watu 5, na wanne kati yao wameweza kupata mkanganyiko hasa kwa imagination kutengeneza picha ya hiki kisa katika hii mistari ya ubeti wa pili..na mmoja kati yao alipata picha ambayo ni sahihi...

BEN PAUL: Siku ile mlipita we ukiwa nae, hamkuniona nilisimama kando asijue


BELLE9 : Mbona mi siku ile nilikuona, sikujua kama Yule mmnajuana


BEN PAUL:Kitambo mi nilimshindwa sikujua kama unampenda
    Nilijua penzi atalitunza sikujua kama angetuchanganya

Wanne walisema Ben Paul aliwahi kumuona Belle 9 na huyo msichana, na pia Belle 9 katika siku nyingine aliwahi kumuona Ben Paul na msichana huyo huyo..

Lakini hapa ni kwamba wakati Ben Paul anawaona Belle 9 na Yule msichana, akajificha ili Yule msichana asimuone kwa sababu alikua ameshaachana nae na alishangaa kumuona na Belle 9 ambae ni rafiki yake...kumbe hata Belle 9 Nae alimuona ila hakutaka kumuita na hakujua kama Ben Paul pia anamjua huyo msichana, nadhani ni sababu pia Ben Paul alijificha na unajua tena mtu ukiwa na motto wa kike huwezi ku-shout kumuita mshikaji...hahahahaa....na huu ndio UTUNZI mzuri wa simulizi..unatengeneza picha zinazokubali katika uhalisia.

Mwisho kabisa natofautiana na wale wanaodai kua wimbo huu unafanana na SAME GIRL wa R.KELLY& USHER...ni tofauti kabisa..labda mfanano ni kwa sababu wanaongelea msichana mmoja...ila simulizi ni tofauti kabisa.. kwa wimbo wa kudakizana na simulizi huu pia ni moja ya nzuri kiutunzi zilizowahi kusikika kwa kudakizana kwa Tanzania..


Jeremy J-Ryder Kyejo



Beat


First impression, ukisikiliza beat ina melody poa sana, rhodes instrument mona gangster aliyoitumia pia iko freshii.


Mixing

Mixing ya beat inaweza kuwa nzuri zaidi, mfano hats zile kuwa panned more left na right, kama kwenye mfumo wa live drums na pia cutting frequencies kwenye hats ambazo zina interfere with other sounds, for instance cutting frequencies less than 600hz, using a highpass filter. Kwa Vocals..nimezipenda, ila reverb mix (amount) ingepungua kidoogo...ili iweze sit kwa mix poa zaidi.

Generally ngoma iko mzukah, collabo wamefanya poa sana.


Thursday, June 28, 2012

Just one of those days

Blah! Dette her har rett og slett bare vært en sånn bakvendt dag, hvor alt bare er og blir feil!
Jeg startet dagen med sole meg på takterassen, noe som alltid er trivelig. I dag var det ikke like skyfritt som i går så derfor smurte jeg meg ikke inn med solkrem, men heller fuktighets krem. 

Sånn ble det resultatet:


Jeg er sprøstekt som bacon og har fått en hel haug med nye føflekker. Noe som egentlig er litt skummelt, men som jeg alltid får når jeg soler meg enten det er ute eller i solarium. Det er noe som har kommet med årene. Jeg får vel ratt hudkreft på mine eldre dager...

Så måtte jeg jo nesten ta meg en tur til byen i dag også, bare for å titte litt. Skulle egentlig sjekke om de har en bok jeg har lyst på, til en billig penge noe sted. Noe de hadde, så yay for det. Jeg kjøpte den ikke da, siden jeg hadde handlet andre ting i stedet, men mer om det lenger ned i innlegget. 
Så uansett, denne byturen forvandlet seg plutselig til New York Fashion Week i mitt hode, og ingenting av det jeg hadde i klesskapet var verdt noe som helst. Så før jeg skulle ut døren, bare for å se etter en bok, endte jeg opp med å bruke en og en halv time på å skifte. 

Enten var ting for trangt eller for slapt. Feil farge eller feil fasong. Karslig eller for feminint. Biker aktig eller blomsterbarn. Var det ikke buksene eller toppene, så var det skoene. Og håret, det faens håret. Smykker ble dratt av og på, lue tredd ned og røsket av igjen. Så etter mye om og men så rommet mitt slik ut

 
Og da jeg endelig kom meg ut av døren, var jeg så grinete at jeg gjett en gang? Jo jeg dro på kles-shopping. Var det noe jeg hadde lært etter den siste en og en halvtimen var det jo at jeg ikke har noen fine klær! Så jeg endte opp med å kjøpe 3 topper som ikke var på salg, så der røyk den shopping lockdownen. Men de kostet bare 99 kr pr stk, noe som nesten er gi bort pris spør du meg, så det teller nesten som salg. Eller egentlig ikke da, men nesten!

På vei hjem gikk jeg innom en matbutikk hvor jeg surret rundt en god halvtime, før jeg plutselig fikk et akutt behov for laks og eggerøre. Det er så godt med sånn salt mat i sommervarme. Som laks og egg, eller speke mat eller bacon. Eller salt potetgull, helst fra Lays.

Men selfølgelig måtte jo noe galt da også. Det var nemlig tomt for den røkte laksen i skiver fra First Price. Og siden jeg er økonomisk og alt så vil jeg helst kjøpe den. De hadde den i hel bit da, men tanken på å stå å kline og skjære og at fingrene lukter fisk lenge etterpå, gjorde at den ikke fristet.
Men så tenkte jeg at det kan jo hende det ligger en helt bakerst på lur som ingen har sett, så jeg bøyde meg helt ned for å titte langt bak i disken.

Og ganske riktig, det gjorde det! Så da syns jeg at jeg var ganske så lur og en liten fetter Anton som fant den ene pakken, mens alle andre hadde måtte nøye seg med biten og sikkert luktet fisk akkurat nå.


Men da jeg kom hjem og tok en nærmere titt på pakken, oppdaget jeg det katastofale.
Nemlig datoen! 5 juni, takk som byr. Og jeg tok selfølgelig ikke med meg kvitteringen, så jeg får ikke klaget heller. 

Så nå gir jeg opp den dagen her. Nå skal jeg rydde rommet mitt og vurdere om jeg skal gidde å gå på butikken å prøve lakselykken igjen. Men da skal jeg ikke gidde å ordne meg eller så mye som se meg i speilet! Nå er jeg lei!




Snoop Dogg akamatwa na bangi airport nchini Norway



Rapper mkongwe Snoop Dogg alikamatwa kwenye uwanja wa ndege nchini Norway leo baada ya maofisa wa uwanja wa ndege kugundua kuwa alikuwa akiweka bangi kwenye begi.

Polisi wameuambia mtandao wa TMZ kuwa Snoop alikamatwa kwenye uwanja wa ndege wa Kjevic mjini Kristiansand ambapo maofisa waligundua kuwa alikuwa amebeba gramu 8 za ‘ganja’.

Kwa mujibu wa polisi, mtu akikamatwa na bangi iliyo chini ya gramu 15 huadhibiwa kwa faini peke yake na kwa kesi ya Snoop alitakiwa kulipa dola 1,980.13. sawa na zaidi ya shilingi milioni tatu.

Mtandao huo umeambiwa kuwa Snoop alionesha ushirikiano na kulipa faini haraka kwakuwa huenda alikuwa na pesa hizo mfukoni.

Snoop yupo nchini Norway kuperform kwenye tamasha la Hove.