Tuesday, July 31, 2012

New Music: Jose Chameleone - Moto Moto


New Music Video: Leka Dutigite - Kigoma All Stars


Nicki Minaj - Pound the alarm

Videoen kom ut i dag, og jeg liker den! Syns sangen er bra, så det var litt gøy å se en video til. 
Og jeg vil også ha sånt stort hår!


 Meeen, det at hun ikke har fake pupper kan hun dra lenger ut på landet med. For akkurat det nekter jeg å tro på etter denne videoen! Ikke at det er noe galt med det, men hvis du har gjort det, hvorfor ikke innrømme det? Men men, hun er nå en liten Barbie uansett.

New Music Video:Flavour ft. Fally Ipupa - Kwarikwa Remix



Diamond asumbuliwa na kifua alazwa kwa muda


Hii ni picha ya Diamond akiwa hospitali baada ya kubanwa ghafla na kifua na hivyo kwenda kufanyiwa uchunguzi ili kujua tatizo. Kwa mujibu wa Ommy Dimpoz ambaye ni mshikaji wake wa karibu tayari msanii huyo amesharuhusiwa lakini majibu ya vipimo vyake yatatoka kesho. 


Miezi ya hivi karibuni Diamond amefululiza kufanya show katika mikoa mbalimbali bila kupata mapumziko ya kutosha na huenda hiyo ndio ikawa ni sababu.


Kupitia Twitter Diamond ameandika "Dah hali yangu si nzuri, naumwaaa."


Tunamwombea Diamond apone haraka.

Breaking:Wasanii wapiga marufuku matumizi ya ringtone zao, wayapa makampuni ya simu siku saba



Umoja wa wanamuziki wa Bongo Flava, Rhumba, Dance, muziki wa Injili na aina zingine leo umetoa agizo kwa makampuni yanayouza miito ya simu nchini pamoja na makampuni ya simu kuiondoa miitio hiyo ndani ya siku saba kuanzia leo mpaka pale watakapokubaliana mikataba mipya.

Katika barua hiyo iliyoandikwa kwenda kwa waandishi wa habari na iliyosainiwa na wasanii zaidi ya 150 nchini, wasanii hao wameyataka makampuni ya simu kuondoa matangazo ya ringtone hizo kwenye radio, magazeti, tv, website na kwenye ujumbe mfupi wa simu.

Hatua hiyo imechukuliwa na wasanii hao baada ya kubaini kuwa makampuni ya simu yanawanyonya kwa kiasi kikubwa kwa kuwalipa chini ya asilimia 10 ya mauzo ya ringtone hizo huku yenyewe yakibaki na zaidi ya asilimia 80.

Wiki iliyopita mbunge wa Kigoma Zitto Kabwe aliliibua suala hilo bungeni na kudai kuwa imeundwa kamati itakayoangalia upya utaratibu wa mauzo ya ringtone.

Press Release ndio hii.

YAH: KUFUTA MIKATABA NA KUSIMAMISHA KUUZA MUZIKI WA BONGO FLEVA,GOSPEL,DANSI NA TAARABU KWENYE MITANDAO YA SIMU.

Husika na kichwa cha habari hapo juu,

Kwa ujumla wetu sisi Wasanii toka Tanzania tunaofanya muziki wa Gospel, Rhumba , Taarabu pamoja na Bongo fleva tumeamua kutoa agzio kwenu la kusimamisha mauzo ya kazi zetu za muziki katika mtindo wa Ringtone na Callertunes katika mitandao ya simu ya Vodacom, Zantel,Tigo na Airtel na kufuta mkataba tuliosaini kati yetu sisi Wasanii na Kampuni yako mpaka hapo tutakapokaa sisi kama wasanii, nyinyi kama wasambazaji wa muziki wetu, pamoja na Mitandao ya simu ili kuzungumzia namna mpya ya sisi na nyinyi tutakavyofanya kazi.

Sababu ya sisi Wasanii kusimamisha na kufuta mikataba kati yetu na wanaofanya biashara ya kuuza maudhui yetu ni pamoja kampuni husika kushindwa kuweka wazi taarifa za mauzo ya nyimbo pamoja na kutolipa katika muda husika kama ilivyoanishwa katika mikataba husika.

Sababu ya pili ni mitandao ya simu kuchukua kiasi kikubwa cha fedha ambacho ni asilimia themanini ya mauzo yote ya maudhui yetu, jambo hili linatuumiza na limetufanya tuendelee kuishi kwa kutegemea aina moja ya pato toka kwenye shoo.

Hivyo tumeziagiza kampuni zote zinazofanya kazi ya kuuza maudhui yetu kutoa maelekezo kwenye mtandao husika kuwaelekeza kusimamisha mauzo ya kazi zetu za sanaa ndani ya siku saba kuanzia leo tarehe 30/07/12 ikiwa pamoja na kusimamisha matangazo yote yanayotangaza mauzo ya kazi zetu kwa njia ya Television , Radio , blogs, website, Magazeti na Ujumbe Mfupi wa maneno mpaka hapo tutakapofikia muafaka.

Jumla ya wasanii 153 wameshasaini barua hizo na wengine wanaendelea kusaini.

Mwisho tunawashukuru kwa ushirikianao wenu, na tunaambatanisha sahihi zetu ili kuonyesha uthibitisho wa umoja wetu katika jambo hili.

Asante.

New Music: Izzo B ft. Belle 9 - Utarudishwa


Sex and the city

I det siste har jeg begynt å se på Sex og singelliv igjen, og det er like morsomt som det alltid har vært! Selv om jeg har sett episodene tusen ganger før, blir jeg aldri lei av de morsomme scenene og jeg ler så jeg nesten griner. Og selv om man ikke har opplevd halvparten av hva de går gjennom, kjenner man seg liksom igjen i hver og en av de likevel.

 
 Jeg kan i hvertfall relatere til når Carrie blir pushet til å date en kompis av Harry som pumper vilt i kaninstil i senga. Og det er ikke å date kompisen eller bryllup jeg relaterer til for å si det sånn....


 Men nok om det! 

Jeg gleder meg jo da selfølgelig til The Carrie Diaries kommer ut! Jeg har lest bøkene, og syns de var ganske morsomme selv om de kanskje er litt mer for ungdom. Men serien kan bli underholdene likevel, selv om Miranda, Charlotte og Samantha da ikke kommer til å være med så mye. De er hvertfall ikke det i bøkene, siden de handler om Carrie før og da hun flytter til New York.


Det eneste lille problemet jeg har med forskjellen mellom Sex og singelliv tvserien og The Carrie Diaries bøkene er dette: 

I serien nevner hun i en episode, jeg tror det er den hvor hun er full hos Vouge, at faren forlot henne og moren når hun var fem år og ingen søsken blir noensinne nevnt. I Diaries bøkene derimot, bor hun med faren og to søstre, mens moren er død. Jeg syns nå det er litt viktig at to serier/bøker om samme person ikke sklir for langt fra hverandre jeg da, og dette er ikke bare å skli, men å hoppe 3 meter vekk fra den originale historien.


Men jeg skal med glede følge med på serien likevel. Gossip Girl er jo snart finito, så noe må jo ta over. Dessuten blir det garantert masse morsomme klær, siden det skal forestille å være på 80 tallet og jeg gleder meg til å se hvordan Donna LaDonna er!


Super Junior:Sexy Free And Single Album.

I'm so excited about this,i know this post is kinda different form the other post because it's about Korean.Do you know Super Junior? Super Junior is a Korean Boy Band ,Super Junior also known as SUJU.Sexy free and single is their sixth album.the album have 2 version and i got the A version.The photograph concept is fantasy and natural,there's a lot of flowers,root,feathers and absolutely a lot of green color it's unpredictable,and I can't say any words.I don't really like K-pop so muck but i like K-fashion LOL.I think Yesung got his best photo,he look great.This album came with 10 songs but my favorite is Gulliver.








This is Sexy Free and Single music video i hope you enjoy my post! :)

Picha za Arnord Kayanda alipoenda kutoa mahari!

Ready to ask ' will you marry me' ?




Huyu ndiye mke wake mtarajiwa


Unamkumbuka mrembo huyu kwenye Nikusaieje ya Profesa J?
Ukweni shangwe tele
Huyu ndio alicheza kama mpambe wake we guess!


Exclusive: Mtangazaji wa Ebony FM Iringa ampiga msanii wa Hip Hop

Man Kichefu

Kupitia ukurasa wa Facebook msanii wa hip hop wa mkoani Iringa Man Kichefu, leo ameandika, ‘jana nliitwa na eddo ebony.fm cha kushangaza alinivamia na kuanza kunipiga akidai nimemchafua! Poa mi sina noma ila nachoweza kusema its only the weak need to prove his strength through force! My mom hits more than anyone I ever met!”

Kufuatia status hiyo tumempigia simu Man Kichefu ili atueleze sababu ya yeye kupigwa na mtangazaji huyo.

“Kuna harakati fulani za muzki wa nyumbani hapa, unajue eeh, jamaa (Ebony Fm) wanatudiss sisi wasanii wa hapa. Kwahiyo kitu kilichokuja kufanyika kuna ngoma fulani sababu sisi kuna studio yetu tumefungua , tumejichanga tu mimi na mshikaji wangu tumefungua studio ,tumetengeza ngoma moja kwahiyo hiyo ngoma tuliyoitengeza inaitwa ‘Himaya ya Mkwawa’ inaelezea historia ya muziki wa Iringa na watu wa Iringa wale wanausuport muziki na wasio usupport. Baada ya ngoma hiyo niliiyoifanya sababu nimeiweka tu kwenye internet jamaa wakaichukua ile ngoma kitu kama wakaisikiliza hivi lakini mimi nikawa sijui.

Nikawa napewa tu taarifa kuwa jamaa anakutafuta kaongea sana redioni. Mwisho wa siku juzi akanipigia simu mimi nikaipokea tu kwa roho safi, ‘vipi  bro, fresh fresh’ akaniambia ebana na shida na wewe njoo ofisini.
Nikamwambia poa mimi nikaenda tu kwa roho safi. Ndio hivyo yanii nimeenda ofisini jamaa akaniita akaanza kunitukana pale anadai nimemchafua, kanivamia akaanza kunipiga.

Na baadhi ya wafanyakazi wengine yaani walikuja wakawa wananishika wananiambai ebana twende huku tukaongee. Pale ofisini kwao kuna sehemu moja nyuma ya ofisi kuna kibanda cha kupumzikia hivi, akaniita pale njoo tuongee.

Nimefika hapo ndo akaanza kunishambulia sasa mimi nikaona hili eneo si zuri sababu ni nyuma ya ofisi, nikakimbia nikaja nyuma ya ofisi.
Nimekuja mbele ya ofisi baadhi ya wafanyakazi wenzake wakaja wakanishika bana twende huku wakawa wananirudisha tena kule ambako jamaa alikuwa ananipiga yaani!
Eddo mtangazaji wa Ebony Fm
Kitu nilichokifanya mimi, nimefungua kesi polisi kwasababu ya ulinzi wangu wa mbele au kitu chochote kitakachoenda kule mbele lakini pia mimi sitaki nimfunge ama nimfanye lolote yaani.”

Tumemtafuta Eddo ili aeleze kwa upande wake lakini simu yake haipatikani.


Sikiliza interview yote hapa


Huu ndio wimbo wa Man Kichefu ulioleta mgogoro.

Monday, July 30, 2012

New Music: 50 Cent ft Dr Dre & Alicia Keys - New Day


Baada ya kucheat: Mashabiki waahidi kuzisusia filamu za Kristen Stewart wa Twilligt Saga



Mashabiki wa muigizaji Robert Pattinson wanatarajia kuzisusia filamu zote ambazo zitakuwa zimeigizwa na aliyekuwa mpenzi wake Kristen Stewart.

Muigizaji huyo wa kike anayeigiza kama Bella Swan kwenye filamu za series za 'Twilight' alikubali kumsaliti mpenzi wake Robert Pattinson kwa kuwa na uhusiano na muongozaji wa filamu ya 'Snow White And The Huntsman' Rupert Sanders.

Kitendo hicho tayari kimeanza kuathiri kazi za msichana huyo mrembo.

Rob na Kristen enzi za mahaba yao
Studio moja ya filamu imeliambia gazeti la The Sun: "Kristen ni mwanamke anayechukiwa zaidi Hollywood. Wapenzi wa filamu wa kike wamekuwa wakitafuta sababu ya kumchukia na sasa wameipata.

"Mashabiki wengi wa Rob' watazipotezea filamu zake. Itakuwa ni safari ndefu kurejea tena kikazi na kama mtu wa kawaida.”

Kutokana na tukio hilo Kristen na Robert waolikuwa wakiishi pamoja wametengana.

Hivi karibuni Rob alikuwa amepanga kumchumbia mpenzi wake huyo aliyeuvunja moyo wake kwa kuligawa penzi kwa mtu mwingine.

Picha ya siku:Huyu ndiye mtoto wa Ali Kiba


Photocopy ya Ali Kiba ama sio? Cute kid.

The beautifulest girl in the world

Jeg lo, jeg gråt, ta en titt hvis du vil.





Army jakke

Army mønster er tydeligvis på tur inn igjen denne høsten, og jeg har da funnet ut av jeg skal investere i en jakke etter å ha vært på Bik Bok i dag. For det første fordi jeg trenger en jakke, og fordi jeg fortsatt er traumatisert etter kamuflasje thightsen jeg bestilte fra Gina Tricot en gang i tiden. Men uansettt, den typen de har på Bik Bok er liksom ikke helt som jeg ser for meg, og da jeg prøvde den på følte jeg meg egentlig bare kjempe teit. Og som om jeg hadde på meg frakk.

Jakke fra Bik Bok 499 kr

Så etter å ha tittet rundt på nettet fant jeg ut at ekte vare egentlig passer meg best. Jeg vil nemlig ha en stor litt firkantet fasong, og de fleste jakkene der ute er typisk "jente modell", altså lang og smal. Mer rektangel, mens jeg altså da vil ha firkant. Men på Nelly har de da fått inn jakker fra merket MODSTRÖM, som har samlet opp ekte brukte army jakker fra det amerikanske militæret, som de selger, og det er mer i den stilen som jeg er ute etter.

Jakke fra Nelly 549 kr

Det som er litt morsomt er jo da selfølgelig at det er ekte vare, men også at man ikke helt vet hva man får. Altså hvilke merker jakken kanskje har, eventuelle lappede hull, flekker, navn og farge. Det kjedelige er at det selfølgelig også gjør at man ikke kan velge noen str, og med min flaks ender jeg vel opp med jakken til en spinkel liten spirrevipp.

Så jeg driver å vurderer om jeg skal tørre å bestille, det er jo bare å sende i retur om den er for liten, men det er jo kjedelig det også. Eventuelt tenkte jeg å bestille fra en dansk side, men da er det jo toll og moms med også, og det er egentlig litt stress. Men jeg likte denne modellen også.

 Jakke fra Army-star.no 336 kr

Denne er også ekte vare, og nederlandsk av alle ting. Men på denne siden har de i det minste klart å dele opp i str S-XL så det blir litt lettere å få en jakke som passer. De har også en haug med jakker fra andre land i mange modeller, så det kan være verdt å ta en titt om man er ute etter en jakke som ikke alle andre har. Det er jo litt stas, syns nå hvertfall jeg.

Men ikke la deg lure, selv om butikken har .no, er det fortsatt en dansk butikk og varene må gjennom tollen. Men jeg sjekket hvor mye toll og moms blir hvis man kjøper denne, og det blir ikke på mer enn 600 og noe alt til sammen. Og det er jo faktisk ikke så ille. 

Derfor ble jeg veldig usikker nå!

Mpya:20 Richest Rappers Alive Today! Master P ana hela zaidi ya Dr Dre!



Hii ni list mpya ya "20 Richest Rappers Alive Today"
20. Rick Ross - Net Worth $25 Million
19. Wamefungana T-Pain na T.I - Net Worth $30 Million
18. Nelly - Net Worth $55 Million
17. Busta Rhymes - Net Worth $60 Million
16 .Ludacris - Net Worth $65 Million
15. Beastie Boys - Net Worth $75 Million Each
14. Timbaland - Net Worth $75 Million
13. Pharrell Williams - Net Worth $77.5 Million
12. Wamefungana LL Cool J na Akon – Net Worth $80 Million
11. Kanye West - Net Worth $90 Million
10 Lil Wayne - Net Worth $95
9. Ice Cube - Net Worth $100 Million
8 .Snoop Dogg - Net Worth $110 Million
7. Birdman - Net Worth $115 Million
6. Eminem - Net Worth $120 Million
5. 50 Cent - Net Worth $250 Million
4. Dr. Dre - Net Worth $260 Million
3. Master P - Net Worth $350
2. Jay-Z - Net Worth $475 Million
1. Diddy - Net Worth $500 Million (Celebrity Net Worth)

Tuhuma za rushwa:Zitto Kabwe kuzungumza na waandishi kesho



“Kesho Nitazungumza na waandishi wa Habari ofisi za Bunge Dar Es Salaam kuanzia saa tano asubuhi. Kuendelea kukaa kimya ni silaha kwa adui,” ametweet Zitto jioni hii (July 30).

“Kwa masaa 3 nimejieleza mbele ya sekretariat ya chama kuhusu tuhuma za rushwa dhidi yangu. Niliomba kutaka kutoa maelezo kwa katibu Mkuu.
Nimetaka chama changu kufanya uchunguzi dhidi ya tuhuma hizi.”

Alex wa BBA aandika barua kuelezea beef yake na Prezzo



Baada ya wakenya kumshambulia kwa kumuita sio mzalendo aliyekuwa mshiriki wa Kenya kwenye shindano la Big Brother Africa Stargame, Alex kutokana na kitendo chake cha kumtaja mkenya mwenzie Prezzo atolewe, ameamua kuandika barua kueleza kwanini alifanya hivyo.

"Hey fam, mambo mengi yamejitokeza tangu nimtaje mwananchi mwenzangu (Prezzo) kutolewa kwenye BBA Stargame 2012. Ningependa kutoa msimamo wangu kuhusiana na suala hili kwa matumaini tutakuwa na amani na kuendelea na maisha yetu.

Beef kubwa imekuwa ni kwamba eti mimi ni ‘msaliti’, sio mzalendo na si mpenda nchi yangu. Wakenya wenzangu, mimi si mtu wa aina hiyo.

Ninajivunia nchi yangu, naheshimu wananchi wenzangu na pia kuitangaza nchi yangu muda wote. Guys, nimekuzwa na uzalendo, utii na uamifu uliingizwa kwangu. Na ninaamini katika ubora huo. Ndio maana nimekuwa nikionesha bendera ya Kenya wakati wa show za eviction, wakati wa kazi na fursa zingine.

Sina haja ya kuwaambia hili lakini siku zote huwa nina bendera ya taifa langu chumbani. Sebule ya familia siku zote huwa na bendera juu ya sehemu ya moto (fire place). Gari ya familia yetu huwa na bendera ya Kenya muda wote – na niaimini nchi yangu kwa nguvu zote.

Kuna baadhi wanasema sikuweza kuimba wimbo wa taifa. Naiomba radhi nchi yangu kuwa nilikosea maneno ya mwisho ya wimbo wa taifa sababu ya kihoro (pressure). Lakini sababu ya uamifu wangu na imani juu ya nchi yangu nilirudia ubeti wote na kuimba bila makosa. Sikupenda kuingiza maneno yangu kujipatia ujiko. Naheshimu wimbo wa taifa wa nchi yangu.

Sasa swali limeendelea kuibuka kuhusu kumtaja mwenzangu kwenye  eviction. Jibu langu ni rahisi na la wazi: mwenzangu alikiuka interest zangu na uhuru wangu wa kujumuika (freedom of association). Uelewa wangu ni kwamba yeyote anayekiuka haki yako yeye ndiye sio mzalendo.

Mwenzangu alikuwa mbinafsi, alikuwa akificha vitu vya anasa mbali na washiriki wengine nikiwemo mimi. Pia alikuwa mkorofi kwangu. Alinizuia kutojumuika na Goldie, kwa kuniambia "You don't know me!". That's on record at BBA.

Napenda kusema kuwa yeyote atakaye chezea uhuru wangu na matwaka yangu halali, basi nina uhuru wa kuchukua uamuzi wangu wenye haki na niuonao wa muhimu kulinda matakwa na uhuru wangu.

Uchambuzi huo ulinifanya niamue kumtaja mwananchi mwenzangu.

Kwa kusema hayo, nakuheshimu, niheshimu na uzalendo huja baada ya mimi na wewe kutambua kuwa sote ni binadamu tulio na haki na uhuru sawa. 

Naipenda katiba mpya ya Kenya kwasababu ipo wazi kuhusu haki na uhuru wa wananchi.

Fam, ombi langu ni amani iendelee na tusonge mbele. Sina kinyongo na Prezzo na kama Africa ikiamua atakuwa mshindi, nitampongeza na kuwa na furaha kwaajili yake.

TMP Extra: Aman Joakim aionavyo ngoma mpya ya Ngwair



Amani Joakim ni mdogo wake na Hermy B. Kama kaka yake naye pia ni producer. Yeye pia alikubali kujiunga na jopo la wataalam wa muziki nchini wanaozifanyia uchambuzi nyimbo mpya za wasani wa Bongo. Bahati mbaya mchango wake tumeipata kwa kuchelewa na hivyo kutokana na umuhimu wake tumeamua kuuweka kwenye The Music Postmortem Extra. Hivi ndivyo aionavyo ngoma mpya ya Ngwair ft. Mirror - Maskini Wenzangu.



Nafikiri ni ngoma nzuri sana hasa kwa kipindi hichi cha wakati mgumu kwa mtanzania..kwa maana nyingine ni sauti ya mtanzania wa kawaida. Ni zile Ngoma ambazo zitapata Airplay kwa vipindi vya asubuhi kwa Radio.

Ngwea kama kawaida hajakosea chochote kitu. Flow kali japo sio kali kuliko zote alizowahi kufanya..mistari inaleta maana nzito lakini haichoshi kwani anatupia ladha za kiumaridadi wa kileo unapata hamu ya kuendelea kuskiliza mara kwa mara..

Nafikiri Kwenye maswala ya mdundo manecky amejitahidi pia lakini sio kazi yake bora, kwani nimewahi kuskia nyingine zilizo bora zaidi hata nyingine ambazo hazijatoka. Sidhani kama mdundo huu maneck aliumiza kichwa na wala sidhani alidhamiria kuumiza kichwa,ni ile midundo mikono inafanya tu na kiasi kidoogo cha utaalamu kutumika kwa hiyo sio kitu cha kumdahili ubora wake wa kutengeza mziki..ts an okay beat.

Mixing sio bora sana, vocals zina tatizo kiasi na hata mdundo wenyewe pia kwani mixing ya mdundo inategemea unataka kipi kisikike wapi,mda gani na kwa umbali gani. Labda kama alidhamiria iwe hivyo kwani siku hizi kuna standard nyiiingi saana za mixing kutokana na matakwa ya wasikilizaji wa mziki wa kileo ambao maskio yao yana mahitaji ya vitu vya ajabu kweli. 

USHAURI: kutokana na matatizo mengi sana kwa muziki wetu nafikiri mixing sio ishu sana,tutie mkazo sana kwa ubora wa midundo, uimbaji na uchukuajia sauti zilizo sawia..ukichukua sauti znazotakiwa hata ukishindwa kumix bado muziki unakua mzuri kwani tunapoimbiwa live hakuna mashine ya kumix ila ni sikio tupu na sauti halisi ya mwanamuziki.

BEHIND THE SCENES: Waka Flocka Feat. Nicki Minaj & Tyga "Get Low"