Thursday, May 31, 2012

The Queen is back!



Baada ya kukaa Marekani kwa takriban miezi mitatu, hatimaye Linah Sanga amerejea nchini.

Bila shaka amekuja na morali mpya na mashabiki wategemee mabadiliko ya mambo mengi kutoka kwa mwanadada huyu hasa kwenye video kwakuwa amekuja na swag za Marekani.

Peter Ligate CEO wa kampuni ya J&P Investiment Inc. iliyosababisha tour hiyo amesema, “Ater a successful "tamani" us tour the #1 female artist Linah is back in Tanzania. Thanks to all that supported her & continue to support our artist & bongo fleva..godspeed ma people!!”


Welcome back Linah!

P-Square wasainishwa na Universal Music Group




Mambo yanazidi kuwanyookea Peter na Paul Okoye wa kundi la P-Square la nchini Nigeria.

Jana (May 31) wamesaini deal na miongoni mwa record label kubwa kabisa duniani, Universal Music Group.



Kupitia Twitter, Peter ameandika, “We r now ready 2 CHOP MORE MONEY now that we have gone UNIVERSAL..hehehehe!”

“Signed and sealed.... Psquare gone UNIVERSAL and the fans made it so possible. Thank u Lord,” aliongeza.


Kwa hatua hiyo kubwa waliyoifikia, Peter hakusahau kuwakumbuka mashabiki, “Thanks so much my beautiful pple, u all made it happen.... And may the good Lord bless us all.”

Shughuli hiyo imefanyika jijini Johannesburg, Afrika Kusini.

Na sasa wamejiunga na label iliyo na wasanii zaidi ya 100 duniani. Miongoni mwa wasanii wakubwa waliochini ama waliowahi kuwa chini ya UMG ni pamoja na Young Jeezy, Wale, William, Tyga, Soulja Boy, Shania Twaim, Shantele, Steve Wonder, Akon, Rick Ross na Rihanna.

Wengine ni Nicki Minaj, Ne-yo, Nas, Melanie Fiona, Madonna, Lil Wayne, Keri Hilson, Kanye West, Justine Bieber, Jennifer Lopez, Drake, Dr. Dre na wengine wengi.

Makao makuu ya UMG yapo Santa Monica, California nchini Marekani lakini ina matawi yake sehemu mbalimbali duniani kote.

Rewind tilbake til praktisk skittentøy innlegget

Jeg skrev nemlig om disse fantastisk praktiske skittentøyskurvene i et innlegg. Og da jeg i går var enda en tur innom sparkjøp butikken snublet jeg faktisk over akkurat denne:


Men det postive om den trekker jeg fort tilbake etter i dag, for den er IKKE fin! Den er i et rart stoff som er mer som plastikk, eller sånn strie sekk som man har ved i.Og det er ikke så stivt som på bildet. Det er litt sånn slaskete, så når det ikke er klær inni ser den tjafsete ut.

Og inni er det et sånn fòr som ser ut som en vaskepose, som man kan snurpe sammen. Noe som er toalt unødvendig syns nå jeg. Når kurven er så full vasker man klær! 
Ikke snurper det godt sammen og later som ingenting.

Så nei denne får karakter 2/6 av meg, og det er virkelig ikke godt nok.
Så jeg vil heller bestille et annet sted som den kanskje koster mer, men også er i bedre kvalitet.

FOTOS DE ALEX LORA

FOTOS DE ALEX LORA

Alex Lora
Alex Lora - Cantautor mexicano y vocalista de la banda de rock El Tri, nació el 2 de Diciembre de 1952, muy conocido por las canciones: "Triste canción", "Las piedras rodantes", "El niño sin amor",entre otras
Cantante Alex Lora
Alex Lora mexicano
Alex Lora cantando
Alex Lora cantando
Alex Lora con su grupo el Tri
Alex Lora con el Tri
Alex Lora en concierto
Alex Lora en concierto
Alex Lora en portada de Cd
Alex Lora en portada de Cd
Alex Lora en conferencia
Alex Lora en conferencia
Alex Lora en sesión de foto
Alex Lora en sesión de foto
Alex Lora posando con su original guitarra
Alex Lora posando con su guitarra
Alex Lora sacando la lengua
Alex Lora sacando la lengua
Alex Lora saludando
Alex Lora saludando
Alex Lora junto a su gente de con El Tri
Alex Lora con el Tri
Fuente: Imágenes google
Fotos de Alex Lora, cantante Alex Lora, mejores fotos de Alex Lora, imagenes de Alex Lora, photo gallery Alex Lora, ultimas fotos de Alex Lora

It's Barbie!


 All lipstick, legs and long blond hair.
All made up with that vacant stare
All dressed up, she goes out to play with friends


Why is poor Barbie awfully thin?
Her mouth is shut, no food gets in.
She must be cold in such short clothes
but she can’t catch cold with a plastic nose.


She’s got a big cheerleader smile. 
That must cause cramp after a while, but hers is baked onto her face.


If she could speak, maybe she’d said, she prefers to wear yellow and red
and how she has got tired of pink,
and how she doesn’t like her mink at all


Sometimes poor Barbie, is so sad,
I think she’d like to be a much happier

P-Square kupiga show DRC June 3


Wanamuziki mapacha wa Nigeria Peter na Paul Okoye wa kundi la P-Square wanatarajia kupiga show nchini DRC June 3 mwaka huu.

Bila shaka safari yao ya kuelekea Congo wataifanya kwa ndege yao binafsi ya kukodi kwakuwa hivi karibu safari zao zimekuwa za aina hiyo.

Katika mtandao wa Twitter imeandikwa , “P Square live in DRC on June 3rd. Kinshasa get ready for the Invasion.”


Katika hatua nyingine Peter Okoye amesema hafikirii kuacha muziki licha ya mafanikio makubwa waliyoyapata.



Amesema hivyo baada ya kuulizwa na shabiki wake kufuatia ujumbe aliouandika kwenye picha  aliyopost juzi kwenye Twitter, “I moved from ambition to achievement...and I wish every1 the same...”


Na ndipo akaulizwa, “since you have moved from ambition to achievement why not retire? Na yeye akajibu Ah ah bros dem send u?


Jessica Simpsons amuonesha mwanae Maxwell kwa mara ya kwanza

Hatimaye Jessica Simpsons amezionesha picha za binti yake kwa mara ya kwanza ikiwa ni mwezi mmoja baada ya kujifungua.

Yeye na mwanae Maxwell Drew Johnson wameonekana kwenye cover ya jarida la People.

Akiwa amemshika Maxwell kwa mahaba mazito, Jessica anaonekana kujivunia na kuliambia jarida hilo kuwa mtoto wake wa kwanza na mchumba wake Eric Johnson, amebadilisha maisha yake.



'Maisha yangu yamebadilika kabisa. Kuanzia jinsi ninavyolalala mpaka ninavyofikiria, Maxwell ametawala kila kitu!'

Aliongeza: 'Tunamtazama muda wote. Haturidhiki!'
 
Mwanamuziki huyo wa zamani aliyejifungua mtoto wake kwa upasuaji, ameliambia People kuwa kumlea binti yake ni kazi ya muda wote.


Mwanzoni iliripotiwa kuwa picha za Maxwell zilizokuwa zikisubiriwa kwa hamu, ziliuzwa kwa $800,000 kwa jarida hilo.

Hata hivyo kiasi hicho, ni kidogo sana kuliko walichowahi kupata mastaa wengine kwa watoto wao wa kwanza.

Jennifer Lopez alilipwa dola milioni 6 na jarida hilo la People kuonesha picha za wanae mapacha Max na Emme.

Jarida hilo hilo lilidaiwa kuwalipa Angelina Jolie na Brad Pitt karibu dola milioni 14 kuonesha picha za watoto wao mapacha Vivienne na Knox!

Ukweli: Eddie Murphy na Rocsi Diaz wanadate

Eddie Murphy
Eddie Murphy na Rocsi Diaz wamedaiwa kuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi kwa mwezi mmoja sasa na mpaka hivi karibu walienda holiday kula bata.

Muigizaji huyo wa Tower Heist na mtangazaji wa zamani wa kipindi cha 106 & Park cha BET, walionekana pamoja wiki iliyopita wakiwa wameshikana mikono baada ya kutoka kunywa kahawa pamoja kiasi cha kuongeza mafuta fununu za uhusiano wao.

Rocsi alikanusha haraka hata hivyo kwa kudai wao ni marafiki tu.



Rocsi Diaz
Hata hivyo vyanzo vimeuambia mtandao wa Eurweb.com kuwa ni kweli wana uhusiano uliodumu kwa kipindi cha mwezi mmoja sasa na Eddie alimpeleka mrembo huyo kwenye visiwa vya Bahamas kwa ndege ya kukodi (private jet).

Ngumu kuamini: Wanasema Beyonce ni mjamzito tena

Mtandao maarufu kwa kuibua mambo mazito kwenye masuala ya burudani, MediaTakeOut jana umethibitisha kutoka kwa snitch aliyekaribu sana na Beyonce kuwa mwanamuziki huyo ana ujauzito wa mtoto wake wa pili.

Kwa mujibu wa mtandao huo story hizo si fununu, bali ni ukweli kabisa.

Umesema kwa mujibu wa snitch huyo aliye karibu naye, mama Blue Ivy hanywi tena pombe na ameanza kutumia vidonge vya FOLIC ACID. Vidonge vya Folic acid ni muhimu kwa akinamama wenye ujauzito mchanga.







Mtu huyo ameeleza, "Hakunywa kilevi chochote kwa wiki kadhaa na tuliagiza Petrus & Champagne mara kadhaa. Petrus ni wine aipendayo sana! Hakuwa yeye kabisa."



Mtandao huo umesema unategemea tangazo rasmi katikati ya mwaka huu pale ujauzito wake ukiwa mkubwa. Umesema sasa hivi una miezi miwili.

Kama habari hizi ni za kweli basi CONGRATS JAY AND BEY!!!

Wednesday, May 30, 2012

Dancer wa Nicki Minaj adaiwa kumbaka na kumuua shabiki


Nicki Minaj ameshtushwa na habari za kuuawa kwa shabiki yake nchini Japan.

Kupitia Twitter, leo Nicki ameandika, “Nimehuzunika baada ya kujua kuwa shabiki wangu wa thamani; amepatikana akiwa ameuawa nchini Japan. Upendo na sala ziende kwa familia ya Nicola Furlong.

Nicola
Imedaiwa kuwa Nicole aliuawa baada ya kubakwa na dancer wa Nicki Minaj James Black Stone aka King Tight pamoja na kijana mwingine.

Msichana huyo raia wa Ireland alikuwa nchini Japan kimasomo

Sko-handel

Før første dag på jobb i dag, som forresten gikk veldig bra, var jeg på jakt etter sko å ha på jobb. Det er i en feskvare, så det er litt vanskelig med sko. De må ikke være glatte, og også tåle vann og mat og søl.

Men jeg fant egentlig ikke noe sånt, så endte opp med disse i stedet



Som så litt kjerring ut på bildet, men det er de ikke i virkeligheten. Og det beste av alt er prisen, 99 kr på Din sko. Der hang de, det eneste paret igjen og tilfeldigvis i min str.

Hår og skjegg forandrer menn!

Her er da et eksempel på hvor mye hår og skjegg kan forandre menn til det verre. Noe min eks i hvertfall aldri skjønte. Det er jo selfølgelig smak og behag, men jeg syns nå dette er en bra måte å vise hva jeg mener på. Bare ser her på Chris Hemsworth, kjent fra Thor og The Avengers. Han er jo i utgangspunktet en kjekkas. Men bare se hvordan han forandrer seg.


Vi startet med kort hår og 3 dagers stubbe skjegg. Dette er sånn jeg syns han ser best ut! Men så foretrekker jeg ofte menn med kortklipt nesten snauet hår.


Så vokser håret hans ut, men skjegget blir regelmessig trimmet. Det fungerer med en nødskrik, rett og slett fordi det blir for baby-face for meg. 


Samme håret, men med grovere skjegg fungerer bedre. Litt mer mandig.


Her har håret blitt lenger, men skjegget er det samme. Dette fungerer også for meg, det gjør ikke noe med litt lengde på håret, selv om jeg som sagt foretrekker kortere.


Og da er det omtrent her jeg begynner å få problemer. Dette blir feil, så feil. I stedet for surfer dude, blir det Fabio. Og hvis folk ikke vet hvem det er så se her:


*grøss*



Og så blir det enda verre, langt hår og mye skjegg. Det er gubbe! Han ser jo plutselig ikke ut som seg selv i det hele tatt, men mer som Terry Bellefleur i True Blood:


Og det er jeg ikke alene om å mene, siden jeg fant denne når jeg googlet etter bilder:

Så ja, alt med måte gutter! 
Det skal ganske mye til for å kle alt, som enkelte menn har den soleklare oppfatningen av at de gjør.

Unntaket er hvis du er født glinsende, muskuløs og i svart/hvitt, for dette hadde hvertfall fungert for meg anytime!