Dwyane Wade, Lebron James na Chris Bosh wameshereheka ushindi wao wa leo wa ligi ya NBA kwa style kwenye nightclub kwa kuchukua mic na kuanza kurap wimbo wa 2 Chainz.
Wakiwa na wawapendao ilikuwa ni furaha tu huku kundi la LMFAO.
Angalia picha na video hiyo.
![]() |
| Salute!! |
![]() |
| Sogea nikuchumu! mwaaa! |
![]() |
| Raha kusherehekea ushindi na umpendaye |
![]() |
| Poppin Bottles |
Hongera kwa mashabiki wa Miami Heat.






No comments:
Post a Comment