Sunday, May 20, 2012

BBA: Watatu watoka, Camp Mulla waacha gumzo Afrika Kusini



Jana ilikuwa siku ya eviction ambapo wawakiilishi watatu walitoka ambao ni Dalphin wa Sierra Leone na waLiberia Yadel na Luke huku Zainab wa Sierra Leone akihamia Upville.

Lakini kilichovutia zaidi ni show iliyopigwa na vijana  watano wa kundi la Camp Mulla la nchini Kenya na ngoma yao Fresh all day. Waangalie  jinsi walivyoshangiliwa.

No comments:

Post a Comment