Friday, May 25, 2012

Trouble in Paradise: Prezzo na Goldie wazinguana



Baada ya siku kadhaa za mahaba mazito kati ya Prezzo na Goldie, hatimaye ibilisi ameingia katikati yao na sasa 'the party is over and here comes trouble'!

Mtoto Goldie anamind eti Prezzo anamchukulia poa!

"Unadhani mimi ni mto wa kochi, kuwa real kwako mwenyewe,” Prezzo alisema. Goldie akabaki mdomo wazi na akashindwa kuamini kama maneno hayo yametoka kwa Prezzo mwandani wake ama mtu mwingine.

Lakini Prezzo hakuishia hapo, akamwongezea mrembo huyo dongo jingine"Do you have a goldfish memory? I'm not a kid so don't treat me like one,"! Duu!  

Prezzo analalamika kuwa wote wamekuwa wakiendelea kujitahidi kuweka maisha yao safi mjengoni lakini sasa mambo yanaanza kumshinda.

No comments:

Post a Comment