Wednesday, May 16, 2012

Nicki Minaj atua Sydney Australia,mashabiki wamlilia



Rapper na muimbaji Nicki Minaj jana (May 15) aliwasili mjini Sydey Australia akisindikizwa na mpenzi na meneja wake Safaree. Mashabiki walimpokea kwa wingi na kupiga picha naye huku wengine wakishindwa kujizuia kulia.

Machozi ya furaha
Mashabiki wa kila aina mpaka watu wazima

Angalia usianguke mama
Hapo hapo

Kama kawaida Safaree hakosi

No comments:

Post a Comment