Sunday, July 1, 2012

Exclusive: Sikiliza track ya Breezy aliyomdiss Drake



Wakiwa wamepewa dau la $1 milli kila mmoja ili wapande stage kuzichapa live, Chris Brown na Drake wameendelea kutupiana mbovu kiasi ambacho kinazidi kuchochea zaidi beef lao.

Inaonekana ugomvi huu usiishe soon baada ya Chris Brown kumdiss Drake kwenye ngoma ya The Game iitwayo I don’t Like.

Kuna sehemu anasema “Wanarusha chupa, narusha mamodel sababu nampa Malaya pipe ndefu. Ntakuwa naimba, atakuwa anaimba, kwahiyo ni pambano, lakini subiri, simwoneshi mchizi taa ya kijani.”



“A fuck ni**a, that’s that shit I don’t like/ They throwin’ bottles, I’m throwin’ models just ’cause I give a bitch long pipe,” raps Breezy. “I be singin’, he be singin’, so it’s on, fight/ But hold up, I ain’t give a ni**a no green light/ This head up, my bread up, one on one, what you scared, bruh?/ Matter fact, take care bruh, you a pu**y ni**a/ My ni**a Tunechi, yeah that ni**a nice/ Shout out to Nicki, man, that ass tight/ Them eyebrows, man, them shits is yikes/ OVO, you overdosed, screamin’ YOLO no, I live twice.”

Kisikilize kipande chake hapa:


No comments:

Post a Comment