Monday, July 30, 2012

Tuhuma za rushwa:Zitto Kabwe kuzungumza na waandishi kesho



“Kesho Nitazungumza na waandishi wa Habari ofisi za Bunge Dar Es Salaam kuanzia saa tano asubuhi. Kuendelea kukaa kimya ni silaha kwa adui,” ametweet Zitto jioni hii (July 30).

“Kwa masaa 3 nimejieleza mbele ya sekretariat ya chama kuhusu tuhuma za rushwa dhidi yangu. Niliomba kutaka kutoa maelezo kwa katibu Mkuu.
Nimetaka chama changu kufanya uchunguzi dhidi ya tuhuma hizi.”

No comments:

Post a Comment