Tuesday, July 24, 2012

Miss World yaongeza shindano la kura za Facebook! Lisa Jensen anahitaji kura zenu

Miss Tanzania 2012 Lisa Jensen

Miss World 2012 imekuja na shindano jipya liitwalo  “People's Choice Online Voting” linaloruhsu wananchi kuwapigia kura washiriki wawapendao kwa kulike page zao za Facebook.

Kwenye shindano hilo kila mshiriki atatumia ukurasa wake wa Facebook kushare taarifa zake mwenyewe na kuitambulisha nchi yake, icha zake, video pamoja na habari za trip yao inayoendelea ya China.

“People's Choice Online Voting” itaendela hadi August 15, siku tatu kabla ya fainali.

Hizi baadhi ya video za utambulisho wa washiriki hao.

1. Miss World Tanzania




















No comments:

Post a Comment