Thursday, August 9, 2012

Young Jeezy ateuliwa kuwa makamu wa rais Atlantic Records!


Rapper Jay Wayne Jenkins aka Young Jeezy ameteuliwa kuwa makamu wa rais wa  Atlantic Records.

Young Jeezy anaingia kwenye list ya rappers waliowahi kushika nyadhifa za juu katika label kubwa nchini Marekani.

Jay-Z aliwahi kuwa rais wa Def Jam, Jim Jones alifanya kazi kama makamu wa rais wa Koch Records, na The-Dream aliwahi kuwa rais wa Island Def Jam .

No comments:

Post a Comment