Saturday, August 11, 2012

Jackie Chan kuwasili Kenya wiki ijayo

Jackie Chan

Muigizaji wa filamu Jackie Chan anadaiwa kuwa moingoni mwa watu mashuhuri kutoka nchini China watakaoitembelea Kenya wiki ijayo.

Atakuwa pamoja na mchezaji wa kikapu Yao Ming.
Yao Ming
Nyota hao wanaenda Kenya kushoot video ya kampeni kubwa itakayokuwa ikirushwa kwenye kituo cha runinga cha China.

Kampeni hiyo ni kwaajili ya kuzuia ununuaji wa pembe za ndovu na vifaru kutoka Kenya na kupelekwa nchini China kuuzwa.

No comments:

Post a Comment