Sunday, August 19, 2012

MNET wamkubali Martin Kadinda, kumfanyia mahojiano



Kituo maarufu cha runinga cha MNET kilichojigawa katika fani mbalimbali, kimevutiwa na kazi za mbunifu aliyekuja kwa kasi mchini Martin Kadinda.

Mbunifu huyo ambaye ni miongoni mwa wabunifu watakaoonesha mavazi kwenye tamasha la mitindo la Dar es Salaam, DFF, ameandika kupitia mtandao wa Facebook, “True love to everyone... What a great news this Morning... MNET Africa for Martin Kadinda on DFF 2012,” na kuambatanisha screenshot ya ujumbe aliotumiwa na mshkaji wake jinsi MNET wanavyomuongelea.


No comments:

Post a Comment