Monday, August 13, 2012

Diva kutoa msaada kwenye kituo cha New Life Orphan Home siku ya Eid Pili



Mtangazaji wa Clouds FM, Loveness aka Diva chini ya mpango wake wa Diva Giving For Charity, anatarajia kukitembelea kituo cha watoto yatima cha New  Life Orphan Home cha Kigogo jijini Dar es Salaam siku ya Eid Pili.

Msikilize zaidi hapa akielezea mpango huo.

No comments:

Post a Comment