Mambo mengi mazito yameendelea kuibuka tangu kifo cha mfalme wa Pop duniani Michael Jackson June 25, 2009.
Lililoibuka hivi karibuni ni kuwa katika siku zake za mwisho mwisho Michael aliagiza kuuawa kwa kaka yake Randy.
![]() |
| Randy Jackson na mtoto wa Michael |
Akiwa ametumia madawa kadhaa,Michael anadaiwa kuwaagiza walinzi wake kumpiga risasi Randy hadi afe baada ya kulazimisha kuingia nyumbani kwake kutokanana ugomvi wa hela ya tour.
"Michael alikuwa katika vita na kaka zake kwa miaka mingi” bodyguard wake wa zamani Matt Fiddes ameliambia The Sun.
![]() |
| Matt Fiddes |
"Walikuwa na hamu kubwa ya kusaini mchongo wa dola milioni 500 kwa ajili ya tour ya kuliunganisha tena kundi la Jackson Five.
![]() |
| Matt Fiddes alipokuwa kazini |
"Mambo yalifika kichwani kipindi Randy alipokuwa akijaribu kulazimisha kuwapita mabodyguard wake ili aongee naye . Michael aliagiza auawe”
"Alikuwa kama kachanganyikiwa kwa madawa na bahati nzuri Randy alisalimika”.
![]() |
| Michael na Randy |





No comments:
Post a Comment