Sunday, May 13, 2012

Kanye West na Kim Kardashian: It's getting 'serious' wanapendana


Very very happy!
Penzi la Kanye West na Kim Kardashian linazidi kunoga haswaaa.

Weekend hii wapenzi hawa wameonekana pamoja mjini Los Angeles kuiingalia Lakers ikicheza.

"Sitaki wasikie, I love you Kim"Muda wake mikono yao ilikuwa haiachani huku wakifurahia popcorn.  




Vicheko na mahaba mazito havikukauka. Huenda wakadumu hawa, ama sio guys?


Nani ajuaaye, lakini Kanye ameandika mistari kwenye track yake mpya akisema “ Nilikuona kwenye club ukiwa na gauni jeupe. Na sasa nataka kukuweka kwenye vazi jeupe”.

"Jamani nichumu basiii"
















Gangster Luv

No comments:

Post a Comment