Tuesday, July 10, 2012

Adam Nditi: Watanzania hata hawajali




Mchezaji mpya wa klabu ya Chelsea ya Uingereza kutoa Tanzania Adam Nditi ameibuka na kusema kuwa watanzania hawajali lolote.

Amesema wanachojali wao ni kupata jambo la kupigia soga pale wanakuwa wameboreka.
“All I can say Tanzania don't care at all, they care about is that the get something to talk about when they're bored,”ametweet leo.

Amesema hayo baada ya kuambiwa na mtanzania mmoja kwenye mtandao wa Twitter kuwa baadhi ya watanzania hawajashtuka na habari ya yeye kusajiliwa na Chelsea kwakuwa wamesikia kuwa amechukua uraia wa Uingereza.

“There are some doubts back in TZ. Just so you know. Some claim that you're only Tanzanian born but a legal UK citizen and not a Tanzanian, meaning you'll NEVER play for TZ. Any truth?” aliuliza mtu huyo aitwaye Givenality.

“Haha alright okay thanks for letting me know, am not saying anything about my personal life especially on twitter,” alijibu Nditi na kulikwepa swali hilo.


No comments:

Post a Comment